iqna

IQNA

Fatima bint mubarak
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la sita la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa wasichana litafanyika Oktoba mwaka huu kwa kushirikisha nchi 136 katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3475634    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/17